Author: Lucy Mwakyembe
-

Mhe. Lucy Mwakyembe Akabidhi Vitenge kwa Wafanyakazi wa TTCL Zanzibar kuelekea Maadhimisho ya Mei Mosi
Mbunge wa Viti Maalum β Kundi la Wafanyakazi, Mhe. Lucy Edward Mwakyembe, amekabidhi vitenge kwa wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL-Corp) Zanzibar ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi
-

Mhe. Lucy Edward Mwakyembe Aungana na Watanzania Kuadhimisha Siku ya Muungano 2026
Mhe. Lucy Edward Mwakyembe, Mbunge wa Viti Maalum Wafanyakazi, ameungana na Watanzania kote nchini kuadhimisha Siku ya Muungano tarehe 26 Aprili 2026, akisisitiza umuhimu wa umoja, mshikamano na maendeleo ya taifa.
-

Wanawake Viongozi Wahamasishe Nashat safi vijijini
Mbunge wa Viti Maalumu, Lucy Mwakyembe ameishauri Serikali kupitia Wizara ya Nishati kufanya kampeni za kuhamasisha matumizi ya nishati safi vijijini kupitia viongozi wanawake ambapo mkakati huo utaharakisha kufikia lengo la kila mwananchi kutumia nishati hiyo. Amesema endapo timu hiyo itaundwa kutoa elimu kata kwa kata, itasaidia wanawake wengi waliopo vijijni ambao hawana uelewa wa…
-

Lucy Mwakyembe: Ushauri Kwa Wafanyakazi.
Lucy Mwakyembe: Wafanyakazi washauriwe kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi wanavyotaka, wasiungwe bila ridhaa yao.