Category: Uncategorized
-

Wanawake Viongozi Wahamasishe Nashat safi vijijini
Mbunge wa Viti Maalumu, Lucy Mwakyembe ameishauri Serikali kupitia Wizara ya Nishati kufanya kampeni za kuhamasisha matumizi ya nishati safi vijijini kupitia viongozi wanawake ambapo mkakati huo utaharakisha kufikia lengo la kila mwananchi kutumia nishati hiyo. Amesema endapo timu hiyo itaundwa kutoa elimu kata kwa kata, itasaidia wanawake wengi waliopo vijijni ambao hawana uelewa wa…
-

Lucy Mwakyembe: Ushauri Kwa Wafanyakazi.
Lucy Mwakyembe: Wafanyakazi washauriwe kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi wanavyotaka, wasiungwe bila ridhaa yao.